Mnadhifishaji (Lydbog, zip_mp3, Swahili) af Inger Gammelgaard Madsen

Mnadhifishaji (Lydbog, zip_mp3, Swahili)

Af: Inger Gammelgaard Madsen


Forlag: SAGA Egmont

  • Type: Lydbog
  • Format: zip_mp3
  • Sprog: Swahili
  • Oplæser: James Wetaka
  • ISBN-13: 9788726270907
  • Udgivelsesdato: 29-10-2019
  • Udgiver: SAGA Egmont
  • Spilletid: 459 Minutter
  • Oversætter: - Lust, Dicentia Denmark A S
  • Filtype: zip_mp3
  • Filstørrelse: 382400 KB
  • Kopibeskyttelse: DigitalVandmaerkning
PRIS
67,- kr
Levering: Straks (Leveres på e-mail)

Når du handler på WilliamDam.dk, betaler du den pris du ser.

  • Ingen gebyrer
  • Ingen abonnementer
  • Ingen bindingsperioder

Alle Kategorier som dette produkt er en del af

  = Emner / kategorier
  = Sektioner / guides
  = Specialsider
  = Kampagner

Beskrivelse

Bertram na marafiki zake watatu wameanzisha genge ndogo la majambazi linaloitwa The Hawks. Anaishi peke yake na mama yake, anayefanya kazi kama mhudumu hotelini. Hamkumbuki baba yake sana, kwa kuwa alikamatwa kwa makosa ya mauaji na kufungwa kifungo cha maisha Bertram akiwa umri wa miaka misaba pekee. Siku moja, Bertram aliiba jaketi ya ngozi ya bei ghali yenye chapa ya "Schott Made in USA" kutoka kwa mkahawa, ambayo ilimletea matokeo mabaya sana, na si kwa Bertram pekee. Rolando Benito, mpelelezi katika Mamlaka ya Malalamiko ya Polisi, na wenzi wake walitumwa ili kuwauliza maswali maafisa wawili wa polisi. Mlinzi wa gereza alikuwa ameruka nje ya dirisha lake katika ghorofa ya nne, huku maafisa hao wawili wakimvuta, baada ya malalamiko ya kelele nyingi iliokuwa ukitoka kwenye nyumba yake. Kwa kuwa mlinzi huyo wa gereza alikuwa baba ya rafiki wa shule wa mjukuu wa Rolando, yeye husikia uvumi kwamba mfungwa alikufa ndani ya gereza ambalo mtu huyo alikuwa akifanya kazi, na kwamba mlinzi wa gereza alihisi ametishwa na kuteswa. Kwa hivyo mwishowe hii si kesi ya kujitoa uhai? Anne Larsen, mwanahabari wa TV2 East Jutland, ako pia katika kesi hii. Kila mtu anaonekana kuwa na uhusiano na mfungwa mmoja, muuaji Patrick Asp, aliyeua mtoto wake mwenyewe mchanga na ni mfungwa katika gereza ambalo mlinzi huyu wa gereza alikuwa akifanya kazi. Vifo hivi vya kutatanisha vikiendelea kuongezeka, na hakimu wa Mahakama Makuu akipotea bila kugunduliwa, Rolando Benito na Anne Larsen wanaunganika wakitafuta uhusiano. Uhusiano huo unapatikana kuwa ni Bertram na wizi wa jaketi, na sasa Anne ako hatarini pia.

Inger Gammelgaard Madsen (b. 1960) ni mwandishi kutoka nchi ya Denmark. Inger Gammelgaard Madsen ana uasilia wa kisomo cha uchoraji wa vielelezo. Alianza kuandika hadithi zinazohusu uhalifu "Dukkebarnet" katika mwaka wa 2008. Baada ya kitabu hiki, ameandika vitabu vingine kadhaa vinavyohusu uhalifu. Baadhi ya vitabu hivi ni "Drab efter begæring" (2009), "Slangers gift" (2014), "Dommer og bøddel" (2015) na "Blodregn" (2016).

Læsernes anmeldelser (0)